Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk, Hussein Ali Mwinyi Amefanya Uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi amemteua Dk. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ambapo kabla ya uteuzi huo Dk. Mwinyi alikuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.