RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dkt. Mwinyi Talib Haji, hafla hiyo
imefanyika leo 4/11/2020 katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dkt. Mwinyi Talib Haji, hafla hiyo
imefanyika leo 4/11/2020 katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar,
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi
akisaini Hati ya Kiapo ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dk. Mwinyi Talib Haji,
baada ya kumuapisha leo 4/11/2020, hafla
hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi hati ya kiapo Dk.Mwinyi Talib Haji baada ya kumuapisha kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(katikati) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dk. Mwinyi
Talib Haji, baada kumuapicha leo 4/11/2020 hafla hiyo imefanyika katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment