Habari za Punde

Semina ya siku moja kuhusiana na umuhimu wa Kodi kwa wawakilishi

Mkurugenzi Sera na Mipango ZRB Haji Saadat akiwasilisha mada kuhusiana na Umuhimu wa Kodi na Mwenendo wa ukusanyaji wa mapato katika semina  ya siku moja kwa waheshimiwa Wawaklilishi iliofanyika katika ukumbi wa ZURA Maisara Zanzibar.
Mkuu wa Kitengo cha Sheria ZRB Khamis Jaffar Mfaume akitoa mada kuhusiana na Sheria za Kodi zinazosimamiwa na ZRB  katika semina  ya siku moja kwa waheshimiwa Wawaklilishi iliofanyika katika ukumbi wa ZURA Maisara Zanzibar.
Meneja Uhusiano na Huduma kwa Walipa Kodi ZRB Shaaban Yahya Ramadhan akifafanua baadhi ya maswala yalioulizwa katika semina  ya siku moja kwa waheshimiwa Wawaklilishi iliofanyika katika ukumbi wa ZURA Maisara Zanzibar.
Baadhi ya Waheshimiwa Wawakilishi waliohudhuria katika Semina ya Siku moja  kuhusiana na Umuhimu wa Kodi na Mwenendo wa ukusanyaji wa mapato katika mafunzo ya  iliofanyika katika ukumbi wa ZURA Maisara Zanzibar.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.