Habari za Punde

Ujenzi wa Daraja la Madungu Chakechake ukiendelea

WANAFANYAKAZI wa kitengo cha UUB kutoka Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Pemba, wakipakia mchanga kwenye katapila, ili kuwekwa sehemu maalumu kwa ajili ya kupondwa zege ili kubwaga katika daraja linalojengwa kwenye barabara ya Madungu Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 

MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Rashid Hadidi Rashid wa kwanza kulia, akiangalia hali ya ujenzi wa daraja unavyoendelea katika barabara ya Chake Chake-Mkoani eneo la Madungu Polisi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.