Habari za Punde

Ibada ya Misa ya Krismasi kitaifa yafanyika Wete Pemba

KASISI Kiongozi Canon Charles Majaliwa akifungisha ndoa ya John Boniface na Resituate Boniface, mara baada ya kumalizika kwa misa ya Sikukuu ya Krismas iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Yohana Mbatizaji Pemba, ibada hiyo imefanyika Kizimbani Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

ASKOFU Michael Henry Hafidhi kutoka kanisa la Anglikana Zanzibar katikati, akiongoza ibada ya misa ya Krismas kitaifa Pemba ibada iliyofanyika kanisa la Mtakatifu Yohana Mbatizaji Kizimbani Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WAUMINI wa Dini ya Kikiristo kutoka kanisa la Mtakatifu Yohana Mbatizaji Kizimbani Wete Pemba, wakifuatilia kwa utulivu ibada ya skukuu ya krismas kanisani hapo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Wilaya ya Wete Mohamed Mussa Seif akitoa salamu za skukuu ya Krismas, kwa waumini wa dini ya kikristo wakati waibada iliyofanyika Kizimbani(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.