Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia vitunguu, kwenye banda la Kikundi cha KONGA, wakati akikagua mabanda katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, yaliyofanyika Kitaifa katika uwanja wa Mandela, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Desemba 1, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan Atoa
Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 kwa Waandishi wa Habari katika ukumbi wa
The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akitoa Tuzo kwa Mwandishi wa Habari Mbobevu Mariam Hamdani kwenye hafla ya Tuzo
za...
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment