Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia vitunguu, kwenye banda la Kikundi cha KONGA, wakati akikagua mabanda katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, yaliyofanyika Kitaifa katika uwanja wa Mandela, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Desemba 1, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment