Habari za Punde

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi afanya ziara Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Zanzibar

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo,akimsikiliza Inspekta Ismail Ally  Hamis (kushoto)  akimueleza jinsi pasi ya kusafiria inavyokua  wakati wa ziara ya naibu waziri huyo Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Zanzibar.Kulia ni Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar,Johari Suluhu.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo, akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA, Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji, Muhsini Masheko (wa pili kulia), akielezea muundo wa pasi mpya za kusafiria wakati wa ziara ya naibu waziri huyo .Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

 Mkuu wa Kitengo cha Kumbukumbu, Ally Juma akimuonyesha jalada lake  Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo wakati wa ziara ya naibu waziri huyo Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Zanzibar.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.