Jengo la bayt el Ajaib ambalo limo katika kufanyiwa ukarabati mkubwa limeanguka baadhi ya sehemu wakati ujenzi ukiendelea. Taarifa zaidi zitafuatia
MAELFU DAR WAPAGAWA NA TAMASHA LA NYAMA CHOMA SOKO LA KUMBILAMOTO
-
Na Said Mwishehe
MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika
tamasha la nyama choma ambalo limefanyika katika soko la Kumbilamo...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment