Habari za Punde

Taasisi za Serikali Pemba zashiriki usafi wa mazingira ikiwa ni shamra shamra za miaka 57 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar

BAADHI ya Watendaji wa Serikali Kisiwani Pemba wakishiriki katika zoezi la ufanyaji wa Usafi kwa kukata majani, ikiwa ni shamra shamra za miaka 57 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. (PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud wa kwanza kulia, akiungana na wananchi na viongozi mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika usafishaji wa mji wa chake Chake, ikiwa ni shamra shamra za miaka 57 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

BAADHI ya wafanyakazi kutoka taasisi mbali mbali za Serikali Kisiwani Pemba, wakizoa mataka na kwenda kuyatupa wakati waufanyaji wa usafi katika mji wa Chake Chake, ikiwa ni shamra shamra za miaka 57 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.