Mshambuliaji wa Timu ya Simba Kagere akiruka kihuzi cha beki wa Timu ya Yanga wakati wa mchezo wao wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika usiku huu Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Yanga imeibuka mshindi kwa mikwaju ya penenti 4-3.
TFS Wino watwaa ubingwa Bonanza la Michezo, watumia fursa kuelimisha juu ya
uhifadhi wa misitu
-
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kupitia Shamba la Miti Wino
wamemaliza Bonanza la Michezo la TFS, lililowakutanisha timu nane kutoka
kata tatu za...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment