Mshambuliaji wa Timu ya Simba Kagere akiruka kihuzi cha beki wa Timu ya Yanga wakati wa mchezo wao wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika usiku huu Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Yanga imeibuka mshindi kwa mikwaju ya penenti 4-3.
Wachambuzi: Vijana Watumie Mitandao kwa Uzalendo Kulinda Amani Kuelekea
Uchaguzi
-
Na Rahel Pallangyo, Dar es Salaam
WACHAMBUZI wa masuala ya siasa, diplomasia na maendeleo wamewataka vijana
na wananchi kwa ujumla kutumia mitandao y...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment