Mshambuliaji wa Timu ya Simba Kagere akiruka kihuzi cha beki wa Timu ya Yanga wakati wa mchezo wao wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika usiku huu Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Yanga imeibuka mshindi kwa mikwaju ya penenti 4-3.
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment