Mshambuliaji wa Timu ya Simba Kagere akiruka kihuzi cha beki wa Timu ya Yanga wakati wa mchezo wao wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika usiku huu Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Yanga imeibuka mshindi kwa mikwaju ya penenti 4-3.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment