Msanii wa Muziki wa Bongo Flava Kondeboy ametowa burudani kwa Wananchi wa Zanzibar na Mashabiki wa mchezo wa Soka Zanzibar katika mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi uliofanyika jana usiku katika uwanja wa Amaan Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa mikwaju ya peneti 4-3.
WATU ZAIDI YA 900 KUSHIRIKI WIKI YA AZAKI KUANZIA KESHO ARUSHA
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
WIKI ya Asasi za kiraia 2025 (AZAKI) inaanza kesho jumatatu Juni2 hadi 6,
2025 Jijini Arusha huku washiriki zaidi ya 900 kutoka t...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment