Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bila la Taifa Tanzania Dkt.Irehema Doriye akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa nusu Fainali Michuano ya Kombe la Ma;pinduzi Cup Mzamiru Yassin, baada ya kuibuka mchezaji bora katika mchezo huo kati ya Simba na Namungo uliofanyika Uwanja wa Amaan Jana Usiku 11/1/2021.
MAELFU DAR WAPAGAWA NA TAMASHA LA NYAMA CHOMA SOKO LA KUMBILAMOTO
-
Na Said Mwishehe
MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika
tamasha la nyama choma ambalo limefanyika katika soko la Kumbilamo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment