Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bila la Taifa Tanzania Dkt.Irehema Doriye akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa nusu Fainali Michuano ya Kombe la Ma;pinduzi Cup Mzamiru Yassin, baada ya kuibuka mchezaji bora katika mchezo huo kati ya Simba na Namungo uliofanyika Uwanja wa Amaan Jana Usiku 11/1/2021.
TCAA yashika Nafasi ya Kwanza Taasisi za Udhibiti Tuzo za NBAA 2024
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeibuka mshindi wa kwanza
katika kundi la Mamlaka za Udhibiti kwenye Uandaaji Taarifa za Fedha kwa
mwaka ...
6 hours ago
0 Comments