Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bila la Taifa Tanzania Dkt.Irehema Doriye akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa nusu Fainali Michuano ya Kombe la Ma;pinduzi Cup Mzamiru Yassin, baada ya kuibuka mchezaji bora katika mchezo huo kati ya Simba na Namungo uliofanyika Uwanja wa Amaan Jana Usiku 11/1/2021.
MFUMO WA IDRAS UMELETA MABORESHO MAKUBWA MENEJA WA TRA MOROGORO
-
Farida Mangube, Morogoro
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro Sylver
Rutagwelera, amefungua mafunzo ya awamu ya tatu ya Mfumo Jumuis...
22 minutes ago
0 Comments