Meneja Uhusiano wa Shirika la Bima la Taifa Ndg. Karimu Meshack akimkabidi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Kati ya Timu ya Mlandege na Malindi Jaffar Maneno, kuibuka Mchezaji Bora wa Mchezo huo na kukabidjiwa Fedha Tasilim shilingi laki mbili, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijni Zanzibar.
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment