Meneja Uhusiano wa Shirika la Bima la Taifa Ndg. Karimu Meshack akimkabidi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Kati ya Timu ya Mlandege na Malindi Jaffar Maneno, kuibuka Mchezaji Bora wa Mchezo huo na kukabidjiwa Fedha Tasilim shilingi laki mbili, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijni Zanzibar.
WAZIRI BASHUNGWA KUTOA KADI ZA MATIBABU KWA WANAMUZIKI
-
*Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa.*
*Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Stella Joel. *
*Na Dotto Mwaib...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment