Meneja Uhusiano wa Shirika la Bima la Taifa Ndg. Karimu Meshack akimkabidi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Kati ya Timu ya Mlandege na Malindi Jaffar Maneno, kuibuka Mchezaji Bora wa Mchezo huo na kukabidjiwa Fedha Tasilim shilingi laki mbili, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijni Zanzibar.
TANZANIA YAPEWA MSAADA WA EURO MILL 10 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI MITATU YA KIMAENDELEO.
-
NA MUSSA KHALID,DAR ES SALAAM
Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani imeipatia serikali ya
Tanzania msaada wa Jumla ya Euro Mill 10 sawa na Shil...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment