Meneja Uhusiano wa Shirika la Bima la Taifa Ndg. Karimu Meshack akimkabidi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Kati ya Timu ya Mlandege na Malindi Jaffar Maneno, kuibuka Mchezaji Bora wa Mchezo huo na kukabidjiwa Fedha Tasilim shilingi laki mbili, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijni Zanzibar.
TBS YAZINDUA MPANGO MADHUBUTI WA KUKABILIANA NA CHAKULA HATARISHI
-
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe, amezindua rasmi
Mpango wa Kitaifa wa Kukabiliana na Dharura zitokanazo na Chakula Kisicho
Salama, h...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment