Meneja Uhusiano wa Shirika la Bima la Taifa Ndg. Karimu Meshack akimkabidi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Kati ya Timu ya Mlandege na Malindi Jaffar Maneno, kuibuka Mchezaji Bora wa Mchezo huo na kukabidjiwa Fedha Tasilim shilingi laki mbili, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijni Zanzibar.
WANU AELEKEZA VETA MOSHI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA VIWANDA
-
*Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh
Ameir,akipata maelezo mbalimbali kutoka kwa wakufunzi mara baada ya
kutembelea Chu...
12 minutes ago
0 Comments