Habari za Punde

Afisa Mdhamini Pemba Wizara ya HVUM Azungumza na Vijana wa Mradi wa Fursa Pemba.

MRATIB wa Kituo cha Majadiliano ya Vijana Zanzibar (CYD) Ali Shaaban Mtwana, akizungumza na vijana wa kikundi chi vya wajasiriamali Mgelema na Chonga, huko katika banda la Karafuu Chonga Wilaya ya Chake Chake, kupitia mradi wa Fursa 600 kwa vijana.
AFISA Mdhamini Wizara ya Habari Vijan Utamaduni na Michezo Pemba Salum Ubwa Nassor, akizunguma na vikundi vya vijana kutoka Mgelema na Chonga ambavyo vipo chini ya mradi wa Fursa 600 kwa vijana unaosimamiwa na kituo cha majadiliano kwa vijana (CYD) Zanzibar.

BAADHI ya vijana kutoka vikundi vya Mgelema na Chonga, wakifuatilia kwa makini mafunzo ya vitendo juu ya juu ya uhifadhi wa fedha, utafutaji wa masoko, suala zima la dhana ya ujasirimali.

(PICHA NA HANIFA SALIM,PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.