Habari za Punde

MAJALIWA AHITIMISHA MJADALA WA HOTUBA YA RAIS YA UFUNGUZI WA MBUNGE LA 12

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akijadili jambo na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Ajira, Kazi na Vijana, Patrobas Katambi, Bungeni jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akipongezwa na wabunge  baada ya kuhitimisha mjadala wa Hotuba ya Mheshimiwa  Rais, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliyoitoa  wakati wa ufunguzi wa  Bunge la Kumi na Mbili,  Novemba 13,  2020, Bungeni jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akipongezwa na wabunge  baada ya kuhitimisha mjadala wa Hotuba ya Mheshimiwa  Rais, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliyoitoa  wakati wa ufunguzi wa  Bunge la Kumi na Mbili,  Novemba 13,  2020, Bungeni jijini Dodoma, Februari 5, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.