Habari za Punde

Mashindano ya Mbio za Kilimanjaro Marathon Yafana

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Abdallah Ulega akiwa kwenye mbio za km tano wakati wa Mashindano ya Kimataifa ya Kilimanjaro Marathon yaliyofanyika leo Februari 28, 2021 katika Uwanja wa Ushirika Manispaa ya Moshi. Mkoani Kilimanjaro.


Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Abdallah Ulega akiomvalisha medali mshindi wa kwanza wa km 42 Augustino Sule aliyekimbia kwa 2:18:04 wakati wa Mashindano ya Kimataifa ya Kilimanjaro Marathon yaliyofanyika leo Februari 28, 2021U uwanja wa Ushirika Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro.

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Abdallah Ulega (wa tano kulia waliosimama) akiwa katika picha ya pamoja nwashindi wa km 21 mara baada ya kutoa zawadi kwa washindi hao wakati wa Mashindano ya Kimataifa ya Kilimanjaro Marathon yaliyofanyika leo Februari 28, 2021U wanja wa Ushirika Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro.

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Abdallah Ulega (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Lucas Mhavile maarufu kama Joti (katikati) wakati wa Mashindano ya Kimataifa ya Kilimanjaro Marathon yaliyofanyika leo Februari 28, 2021U wanja wa Ushirika Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini Yusuph Singo.

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kuangalia Mashindano ya Kimataifa ya Kilimanjaro Marathon yaliyofanyika leo Februari 28, 2021U wanja wa Ushirika Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro.

(Picha na Eleuteri Mangi, WHUSM-Moshi)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.