RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akifuatilia
Hutba ya Sala ya Ijumaa ikisomwa na Khatibu Sheikh Rajab Mohammed Faki.(hayupo
pichani) kabla ya Sala iliofanyika katika Msikiti wa Amaan Jijini Zanzibar leo
2-4-2021 na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid
Ali Mfaume na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na
kuwasalimia Waumini wa Kiislam baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa
iliofanyika katika Msikiti wa Amaan Jijini Zanzibar
WAUMINI wa Kiislam
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.
Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kutowa salamu baada ya
kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msikiti wa Amaan Jijini
Zanzibar
WAUMINI wa Kiislam
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.
Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kutowa salamu baada ya
kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msikiti wa Amaan Jijini
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua
ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais)
baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msitiki wa Amaan
Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Sheikh Rajab Mohammed Faki na Meya wa
Jiji la Zanzibar Mhe. Mahmoud Mohammed Mussa.
Waumini wa Dini ya Kiislam wakiitikia dua
ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (hayupo pichani )
baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Msitiki wa Amaan
Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment