Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa malori matatu ya kunyonya majitaka ambayo aliyakabidhi kwa Halmashauri za Miji ya Kahama, Tanga na Lindi baada ya Waziri Mkuu kuhutubia Mkutano wa Watendaji wa Sekta ya Maji kwenye ukumbi wa Chuo hicho jijini Dodoma, Mei 11, 2021. Wengine pichani kutoka kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ummy Mwalimu, Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Maryprisca Mahundi, Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, William Tate Ole Nasha na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandishi Anthony Sanga.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment