Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa malori matatu ya kunyonya majitaka ambayo aliyakabidhi kwa Halmashauri za Miji ya Kahama, Tanga na Lindi baada ya Waziri Mkuu kuhutubia Mkutano wa Watendaji wa Sekta ya Maji kwenye ukumbi wa Chuo hicho jijini Dodoma, Mei 11, 2021. Wengine pichani kutoka kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ummy Mwalimu, Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Maryprisca Mahundi, Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, William Tate Ole Nasha na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandishi Anthony Sanga.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment