Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa malori matatu ya kunyonya majitaka ambayo aliyakabidhi kwa Halmashauri za Miji ya Kahama, Tanga na Lindi baada ya Waziri Mkuu kuhutubia Mkutano wa Watendaji wa Sekta ya Maji kwenye ukumbi wa Chuo hicho jijini Dodoma, Mei 11, 2021. Wengine pichani kutoka kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ummy Mwalimu, Naibu Waziri wa  Maji, Mhandisi Maryprisca Mahundi, Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, William Tate Ole Nasha na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji  Mhandishi Anthony Sanga. 
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA 
KASI
                      -
                    
Na Munir Shemweta, WANMM 
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya 
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment