MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia
ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Zuberi Ali
Maulid na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana,
alipowasili katika viwanja vya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Kichama, akiwa katika
ziara yake kuzungumza na kutowa shukrani kwa Viongozi wa CCM
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia
ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwasalimiana Wananchi na Viongozi wa CCM wa Mkoa
wa Mjini Kichama, alipowasili katika viwanja vya CCM Mkoa wa Mjini Kichama
Amani, akiwa katika ziara yake ya Kichama kuzungumza na Viongozi na Mabalozi wa
CCM
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa wa Mjini
Kichama wakiwa katika ukumbi wa CCM Mkoa wa Mjini Amanin wakati wa ziara ya
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,ambae pia ni Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
wakati wa mkutano wa kuzungumza na kutoa shukrani kwa Viongozi wa CCM na
Mabalozi wa Mkoa huo.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae
pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi, akikabidhiwa Risala ya Wanachama wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichana na
Katibu wa CCM Nkoa wa Mjini Chima Ndg. Abdalla Mwinyi Hassan, akiwa katika ziara
yake ya Kichama.
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr.Abdalla
Juma Sadala (Mabodi) akizungumza katika hafla hiyo kabla ya kumkaribisha Mjumbe
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi. kuzungumza na Viongozi na
Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama, akiwa katika ziara yake
MWANACHAMA wa CCM Jimbo la Shauri Moyo Bi,Nargis
Uzi Mohammed akichangia katika mkutano wa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwa katika
ziara yake kuzungumza na Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini CCM
Kichama, uliofanyika katika ukumbi wa CCM Mkoa Amaan
MWANACHAMA wa CCM Bw.Mohammed Mohammed Salum, kichangia
katika mkutano wa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwa katika
ziara yake kuzungumza na Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini CCM
Kichama, uliofanyika katika ukumbi wa CCM Mkoa Amaan
MJUMBE wa Halmashari Kuu ya CCM Taifa ambae pia
ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi, akifuatilia michango ya WanaCCM, wakati wa ziara yake kuzungumza na
kutowa shukrani kwa Viongozi wa CCM na Mabalozi wa CCM uliofanyika katika
ukumbi wa CCM Amaan Mkoa Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM
Mkoa wa Mjini Kichama Ndg. Talib Ali Talib na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar Dr.Abdalla Juma Sadala (Mabodi)
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia
ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama wakati wa ziara
yake kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao, mkutano huo umefanyika katika
ukumbi wa CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia
ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama wakati wa ziara
yake kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao, mkutano huo umefanyika katika
ukumbi wa CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar.
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mjini Kichama wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kuwashukuru Viongozi wa CCM na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama akiwa katika ziara yake kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini KichamaVIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi wakifuatilia
hutuba ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akizungumza na Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini CCM Kichama,katika
ukumbi wa CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment