Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Uongozi wa Kijiji cha Watoto SOS Mombasa Zanzibar alipowasili katika Kijiji hicho kwa ajili ya kuwatembelea Watoto na kutoa Mkono wa Eid. kwa Watoto hao hapo jana Mei 14, 2021.
“WCF, NIT Waungana Kupunguza Ajali Barabarani na Kulinda Nguvu Kazi ya
Taifa”
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma,
amesema kuwa ushirikiano kati ya WCF na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji
(NIT) u...
3 hours ago
0 Comments