Habari za Punde

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi Amewatembelea Watoto wa Kijiji cha Watoto SOS Na Nyumba ya Watoto Mazizini Jijini Zanzibar na Kutowa Mkono wa Eid El Fitry

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Uongozi wa Kijiji cha Watoto SOS Mombasa Zanzibar alipowasili katika Kijiji hicho kwa ajili ya kuwatembelea Watoto na kutoa Mkono wa Eid. kwa Watoto hao hapo jana Mei 14, 2021.






















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.