Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan Azungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa IMF Kwa Njia ya Mtandao.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza kwa njia ya mtandao (Video Conference) na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani IMF Bi. Kristalina Georgieva, akiwa ofisini kwake  Ikulu Chamwino Jijini Dodoma 3 Mei 2021.
Picha na Ikulu. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.