WAZEE wa Kijiji cha Dundua Bumbwini Wilaya ya
Kaskazini B Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza wakati wa
hafla ya ufunguzi wa Masjid Nuurul Yaqiin Dundua ulioka katika eneo la Kijiji
Kipya cha Dundua
WAZIRI wa Maji na Nishati Zanzibar Mhe. Suleiman
Masoud Makame akitowa maelezo ya kitaalumu ya Ujenzi wa Nyumba za Kijiji Kipya
cha Dundua Wilaya ya Kaskazini B Unguja wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid
Nuurul Yaqiin ulioko katika Kijiji hicho Mkoa wa Kaskazini Unguja
No comments:
Post a Comment