Habari za Punde

Kongamano la kujadili changamoto zinazowakabili wanawake katika umiliki wa ardhi lafanyika kisiwani Pemba

KATIBU wa Jumuiya ya kupunguza Umaskini na kuboresha hali za wananchi (KUKHAWA)  Hafidh Abdi Said, akizungumza wakati wa kongamano la kujadili changamoto zinazowakabili wanwake katika umiliki wa ardhi, lililowashirikisha wanasheria mbali mbali, wanyakazi kutoka kamisheni ya ardhi na wakfu na maliaman na kufanyika mjini chake chake.

KATIBU wa Jumuiya ya kupunguza Umaskini na kuboresha hali za wananchi (KUKHAWA)  Hafidh Abdi Said, akizungumza wakati wa kongamano la kujadili changamoto zinazowakabili wanwake katika umiliki wa ardhi, lililowashirikisha wanasheria mbali mbali, wanyakazi kutoka kamisheni ya ardhi na wakfu na maliaman na kufanyika mjini chake chake.

KATIBU wa Jumuiya ya kupunguza Umaskini na kuboresha hali za wananchi (KUKHAWA)  Hafidh Abdi Said, akizungumza wakati wa kongamano la kujadili changamoto zinazowakabili wanwake katika umiliki wa ardhi, lililowashirikisha wanasheria mbali mbali, wanyakazi kutoka kamisheni ya ardhi na wakfu na maliaman na kufanyika mjini chake chake.

MRATIB wa mradi wa umiliki wa ardhi kwa wanawake unaoendeshwa na Jumuiya ya KUKHAWA Pemba, Zulekha Maulid Kheir akitoa umaelezo kuhusu mradi huo kwa wanasheria, wafanyakazi wa kamisheni ya ardhi na Wakfu na Maliaman, uliofanyika mjini Chake Chake.

WAKILI wa Kujitegemea Pemba Zaharan Mohamed akichangia mada, katika kongamano la kuchadili changamotio zinazowakabili wanawake katika umiliki wa ardhi, lililowashirikisha wanasheria, wafanyakazi kutoka kamisheni ya ardhi na Wakfu na Maliamana, lililoandaliwa na jumuiya ya KUKHAWA kupitia mradi wa umiliki wa ardhi kwa wanawake na kufanyika mjini Chake Chake.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.