Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Afungua Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara Tanzania.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es salaam leo 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es salaam 
Wajumbe wa Baraza la Taifa la Biashara Tanzania wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.(hayupo pichani) akifungua mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara lililofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es salaam leo Juni 26,2021.(Picha na Ikulu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.