Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Baadhi ya Viongozi wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo Juni 29,2021 akitokea Jijini Dar es salaam.
Rais Dkt. Samia Aongoza Watanzania kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa
Kwanza wa Rais Hayati Mzee Cleopa David Msuya katika Viwanja vya Karimjee
Dar es Salaam
-
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
aongoza Watanzania kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Jamhuri ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment