Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akifungua mafunzo kwa wajumbe wanawake wa baraza la Wawakilishi kuhusu uongozi wenye kuleta mabadiliko yaliyoandaliwa na UN Women huko Park Hayat hotel.
Waziri wa Nchi ofisi ya makamo wa pili wa Rais wa Zanzibar mhe Dkt Khalid salum Mohammed akikabidhiwa zawadi inayomaanisha uwezo wa wanawake katika uongozi kutoka kwa mwakilishi mkaazi wa Un Women Tanzania Professa Bernadeta Killian.Wajumbe wa baraza la wawakilishi wakifuatilia kwa umakini mafunzo yanayoendeshwa na UN Women Tanzania kupitia umoja wa wawakilishi wanawake Zanzibar UWAWAZA.
Wajumbe wa baraza la wawakilishi wakifuatilia kwa umakini mafunzo yanayoendeshwa na UN Women tanzania kupitia Umoja wa Wawakilishi Wanawake Zanzibar UWAWAZA.Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Mhe Saada Mkuya akichangia katika mafunzo yanayoendeshwa na UN women tanzania kupitia umoja wa wawakilishi wanawake zanzibar UWAWAZA
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Wakichangia katika mafunzo yanayoendeshwa na UN Women Tanzania kupitia umoja wa wawakilishi wanawake zanzibar UWAWAZA
DK.SAMIA AANIKA MPANGO WA KUJENGA UWANJA MKUBWA WA KISASA GEITA MJINI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, ameahid...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment