Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akifungua mafunzo kwa wajumbe wanawake wa baraza la Wawakilishi kuhusu uongozi wenye kuleta mabadiliko yaliyoandaliwa na UN Women huko Park Hayat hotel.
Waziri wa Nchi ofisi ya makamo wa pili wa Rais wa Zanzibar mhe Dkt Khalid salum Mohammed akikabidhiwa zawadi inayomaanisha uwezo wa wanawake katika uongozi kutoka kwa mwakilishi mkaazi wa Un Women Tanzania Professa Bernadeta Killian.Wajumbe wa baraza la wawakilishi wakifuatilia kwa umakini mafunzo yanayoendeshwa na UN Women Tanzania kupitia umoja wa wawakilishi wanawake Zanzibar UWAWAZA.
Wajumbe wa baraza la wawakilishi wakifuatilia kwa umakini mafunzo yanayoendeshwa na UN Women tanzania kupitia Umoja wa Wawakilishi Wanawake Zanzibar UWAWAZA.Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Mhe Saada Mkuya akichangia katika mafunzo yanayoendeshwa na UN women tanzania kupitia umoja wa wawakilishi wanawake zanzibar UWAWAZA
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Wakichangia katika mafunzo yanayoendeshwa na UN Women Tanzania kupitia umoja wa wawakilishi wanawake zanzibar UWAWAZA
MWANAMKE MMOJA AFARIKI DUNIA AJALI YA ROLI MBEZI KWA MSUGULI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya gari aina ya roli lenye namba ya
usajili T696 CLY kuacha njia na kumgonga mwanamke ...
5 hours ago
0 Comments