Jengo la Hoteli ya Kisasa ya Golden Tulip Zanzibar Airport lililofunguliwa jana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, Hoteli hiyo ikiwa jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Jijini Zanzibar.
WAZIRI DKT. CHANA ATETA NA KATIBU MKUU CAF
-
Na Shamimu Nyaki
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Pindi Chana Juni, 2,
2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Shiri...
16 hours ago
No comments:
Post a Comment