MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud, akisalimiana na watendaji mbali mbali wa
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa
na kaimu Mwakilishi mkaazi wa UNDP Tanzania, kabla ya kuzindua kituo cha kisasa
cha kukusanyia taarifa za Hali ya Hewa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba
MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi
wa kifaa cha kisasa cha kukusanya taarifa za hali ya hewa, kilichojengwa kwa
ufadhili wa UNDP Tanzania, huko skuli ya Mohamed Juma Pindua Mkanyageni Wilaya
ya Mkoani
MKURUGENZI mkuu wa
Mamlaka ya Hali ya Hewa kanda ya Zanzibar Ngwali Mohamed Khamis, akitoa maelezo
mafupi kuhusu kifaa cha kisasa cha ukusanyaji wa taarifa za hali ya hewa,
kilichojengwa katika skuli ya Mohamed Juma Pindua Wilaya ya Mkoani.
AFISA Ufuatiliaji na
Tathmini kutoka UNDP Tanzania Abass katengo akizungumza kwa niaba ya Mwakilishi
Mkaazi wa UNDP Tanzania, wakati wa ufunguzi wa kifaa cha kisasa cha ukusanyaji
wa taarifa za hali ya hewa, kilichojengwa katika skuli ya Mohamed Juma Pindua
Wilaya ya Mkoani kwa ufadhili wa UNDP
MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud akizungumza na wananchi na wanafunzi wa skuli
ya Mohamed Juma Pindua, mara baada ya ufunguzi wa kifaa cha kisasa cha
ukusanyaji wa taarifa za hali ya hewa, kilichojengwa katika skuli ya Mohamed
Juma Pindua Wilaya ya Mkoani na UNDP Tanzania
MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud akipokea zawadi kutoka kwa Afis ufuatiliaji
na Tathmini UNDP Tanzania Abassa Katengo, mara baada ya kumalizika kwa hafla ya
uzinduzi wa kifaa cha kisasa cha ukusanyaji wa taarifa za hali ya hewa,
kilichojengwa katika skuli ya Mohamed Juma Pindua Wilaya ya Mkoani
kilichojengwa na UNDP Tanzania
MUONEKANO wa Kifaa
cha kusasa cha ukusanyaji wa taarifa za hali ya hewa, kilichojengwa katika
skuli ya Mohamed Juma Pindua Wilaya ya Mkoani kilichojengwa na UNDP Tanzania
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud kulia, akizungumza na Afis ufuatiliaji na Tathmini UNDP Tanzania Abassa Katengo, kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Viongozi wakuu wa Kitaifa ya BLW Hassan Khamis Hafidhi.
(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA)
No comments:
Post a Comment