Mwakilishi wa Jimbo
la Wawi Kisiwani Pemba Mhe.Bakari Hamad Bakar, akifungua mkutano Mkuu wa kwanza wa Baraza la Vijana Wilaya ya Chake Chake Pemba, na kutowa nasaha zake kwa Vijana wa Baraza mkutano huo umefanyika katika ukumbi
wa uwanja wa Gombani Chake Chake Pemba
BAADHI ya wajumbe wa Mkutano mkuu wa Baraza la Vijana Wilaya ya Chake Chake, wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika mjini Chake Chake.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
No comments:
Post a Comment