Habari za Punde

Wasanii wa Muziki wa ZenjFleva Zanzibar Wanolewa

Meneja wa Chapa ya Zantel, David Maisori akizungumza wakati wa semina kwa wasanii wa muziki visiwani Zanzibar. Tukio hilo ni sehemu ya maandalizi ya tamasha la Zuchu Home Coming na Zantel litakalofanyika siku ya Agosti 21 katikaViwanja vya Amani Zanzibar.

Msaanii wa muziki kutoka kundi la Wasafi, Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’ pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa semina kwa wasanii wa muziki visiwani Zanzibar. Semina hiyo ni sehemu ya maandalizi ya tamasha la Zuchu Home Coming na Zantel litakalofanyika Agosti 21, katika viwanja vya Amani Zanzibar.

Wasanii mbalimbali wa muziki kutoka Zanzibar, wakifuatilia kwa umakini semina maalumu juu ya namna bora ya kukuza vipaji vya muziki visiwani humo. Semina hiyo ni sehemu ya Tamasha la Zuchu Home Coming na Zantel litakalofanyika Agosti 21, katika Viwanja vya Amani Jijini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.