Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, akipokea kitabu kinachohusiana na taaluma ya uongozi kutoka kwa Mshauri wa mambo ya uongozi ndugu Ntangeki Nshala wakati alipomtembelea Jijini Dar es Salaam na kubadilishana nae mawazo.
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment