Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Simai Mohammed Akabidhiwa Kitabu cha Taaluma ya Uongozi.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, akipokea kitabu kinachohusiana na taaluma ya uongozi kutoka kwa Mshauri wa mambo ya uongozi ndugu Ntangeki Nshala wakati alipomtembelea Jijini Dar es Salaam na kubadilishana nae mawazo.

Post a Comment

Previous Post Next Post