Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, akipokea kitabu kinachohusiana na taaluma ya uongozi kutoka kwa Mshauri wa mambo ya uongozi ndugu Ntangeki Nshala wakati alipomtembelea Jijini Dar es Salaam na kubadilishana nae mawazo.
Bilioni 20, kutolewa kwa waandishi bora wa maandiko ya utafiti juu ya Jamii
-
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Dkt. Amos Nungu
akizungumza na waandishi wa habari juu ya fursa ya Sh. Bilioni 20
itakayotolewa ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment