Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, akipokea kitabu kinachohusiana na taaluma ya uongozi kutoka kwa Mshauri wa mambo ya uongozi ndugu Ntangeki Nshala wakati alipomtembelea Jijini Dar es Salaam na kubadilishana nae mawazo.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment