Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akiangalia Wafanya biashara wanaoendelea kufanya biashara zao kwenye madirisha ya Skuli ya Sekondari Vikokotoni, kutokana na agizo alilolitoa la kutofanywa biashara katika maeneo hao.
Agizo hilo la Mhe. Simai amelitoa kutokana na malalamiko ya Wanafunzi wa Skuli hiyo kuwa sauti za wafanya biashara zinawapa changamoto wanapokuwa darasani kwa kushindwa kushughulikia masomo yao.

Vyombo vya moto vikiwa vimeegeshwa katika eneo la Skuli ya Sekondari ya Vikokotoni.
No comments:
Post a Comment