Habari za Punde

Maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani Lafanyika Kisiwani Pemba.

MKURUGENZI wa Usalama na Mazingira kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Tanzania bara, Stella Katondo akielezea madhumuhi ya Kongamano la siku ya Bahari duniani ambapo kitaifa Tanzania limefanyika Kisiwani Pemba.
MWENYEKITI wa Kongamano la siku ya bahari duniani, ambaye ni Afisa Mdhamini Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Pemba Ibrahim Saleh Juma, akifungua kongamano la siku ya Bahari duniani ambapo kitaifa Tanzania limefanyika Kisiwani Pemba.
AFISA Mwandamizi kutoka ZMA Abdalla Mohamed, akiwasilisha mada juu ya Usalama wa Abiria katika Meli, wakati wa kongamano la ya Bahari duniani, ambapo kitaifa Tanzania limefanyika Kisiwani Pemba

MKURUGENZI Mkuu wa wakala wa shirika la meli Tanzania (TASAC), Kaimu Abdi Mkeyenge, akimueleza jambo afisa habari wa taasisi hiyo Nicholaus Kinyariri, wakati wa kongamano la siku ya Bahari duniani ambapo kitaifa Tanzania limefanyika Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.