Habari za Punde

Spika BLW akutana na kufanya mazungumzo na Balozi mdogo wa Oman aliyepo Zanzibar, Chukwani

Spika wa Baraza la Wawakilishi mhe Zubeir Ali Maulid akiongea na Balozi mdogo wa Oman aliyepo Zanzibar, Balozi Said Salim Al-Sinawi  wakati alipofika Ofisini kwake Chukwani kwa ajili ya kujitambulisha

 Spika wa Baraza la Wawakilishi mhe Zubeir Ali Maulid akimkaribisha Balozi mdogo wa Oman aliyepo Zanzibar, Balozi Said Salim Al-Sinawi  wakati alipofika Ofisini kwake Chukwani kwa ajili ya kujitambulisha

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.