Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya kuzipokea Ndege Mbili Mpya za Shirika la Ndege la Air Tanzania aina ya Airbus A220-300, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment