Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya kuzipokea Ndege Mbili Mpya za Shirika la Ndege la Air Tanzania aina ya Airbus A220-300, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
12 hours ago
0 Comments