Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amezipokea Ndege Mbili Mpya za AIR Tanzania Aina ya Airbus A 220-300. Uwanua wa Ngede wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya kuzipokea Ndege Mbili Mpya za Shirika la Ndege la Air Tanzania aina ya Airbus A220-300, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume Zanzibar.    





 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.