Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia ngoma ya Bom inayochwezwa na Watoto wa chekechea mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo tarehe 18 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar leo tarehe 18 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar leo tarehe 18 Novemba, 2021.
SERIKALI IMETOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA
-
Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa
zai...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment