Habari za Punde

Hatimae ZAWA yaifanyia ukarabati miundombinu ya maji Kijiji cha Mnarani Makangale kisiwani Pemba

MKUU wa Wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya, akishuhudia wananchi wa kijiji cha Mnarani Makangale wakiteka maji katika mifereji, mara baada ya mamlaka ya maji Zanzibar Tawi la Pemba, kuifanyia matengenezo mtandao wa maji unaopeleka kijijini huko, ikiwa ni siku chache baada ya kuwapelekea maji wa kutumia gari la kikosi cha Zimamoto na Uokozi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya (katikati), akishuhulia maji kumwagika katika moja ya miundombinu ya maji iliyofanyiwa matengenezo na ZAWA Pemba, ili wananchi wa Kijiji cha Mnarani Makangale waweze kunufaika na huduma hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MMOJA wa Mafundi wa ZAWA Pemba, akimalizia kueka sawa moja ya miundombinu ya maji ili iweze kuwafikia wananchi wa kijiji cha Mnarani Makangale Wilaya ya Micheweni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.