Makamu wa Kwanza wa Rais, Alhaj Othman Masoud ameungana na waumini wa dini ya kiislamu katika sala ya maiti kumsalia mwanasiasa mkongwe Zanzibar, Marehemu Ali Sultan Issa ambae aliwahi kuwa Waziri pamoja na kushika nyadhifa tofauti katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment