Makamu wa Kwanza wa Rais, Alhaj Othman Masoud ameungana na waumini wa dini ya kiislamu katika sala ya maiti kumsalia mwanasiasa mkongwe Zanzibar, Marehemu Ali Sultan Issa ambae aliwahi kuwa Waziri pamoja na kushika nyadhifa tofauti katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar
“KIBAMBA YA KISASA YAJA: KAIRUKI AAHIDI BARABARA, MAJI, ELIMU BORA NA AFYA
IMARA KWA WOTE.
-
Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kibamba Anjela Kairuki amewahakikishia
wananchi wa mbezi kuwa barabara inayotokea mbezi kupitia mpiji magohe hadi
bu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment