Makamu wa Kwanza wa Rais, Alhaj Othman Masoud ameungana na waumini wa dini ya kiislamu katika sala ya maiti kumsalia mwanasiasa mkongwe Zanzibar, Marehemu Ali Sultan Issa ambae aliwahi kuwa Waziri pamoja na kushika nyadhifa tofauti katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar
MHE. MCHENGERWA ASHIRIKI SWALA YA EID EL FITRI KINONDONI
-
-Watanzania waaswa kulinda amani
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Machi 21, 2026 ameungana na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt....
45 minutes ago
0 Comments