Makamu wa Kwanza wa Rais, Alhaj Othman Masoud ameungana na waumini wa dini ya kiislamu katika sala ya maiti kumsalia mwanasiasa mkongwe Zanzibar, Marehemu Ali Sultan Issa ambae aliwahi kuwa Waziri pamoja na kushika nyadhifa tofauti katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar
JENGO LA OFISI YA MKUU WA MKOA WA MOROGORO LIKAMILIKE JULAI 2026 - PROF.
SHEMDOE
-
Na OWM - TAMISEMI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemuelekeza Mkand...
1 hour ago
0 Comments