Makamu wa Kwanza wa Rais, Alhaj Othman Masoud ameungana na waumini wa dini ya kiislamu katika sala ya maiti kumsalia mwanasiasa mkongwe Zanzibar, Marehemu Ali Sultan Issa ambae aliwahi kuwa Waziri pamoja na kushika nyadhifa tofauti katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Maonyesho ya ISUZU Yahitimishwa kwa mafanikio Dodoma, Wabunge, Wadau wa
Usafirishaji watia neno.
-
Maonyesho ya siku tatu yaliyoandaliwa na kampuni ya Al Mansour Auto EA
Tanzania, kuangazia teknolojia za kisasa za usafiri na muktadha mzuri wa
magari ya...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment