Makamu wa Kwanza wa Rais, Alhaj Othman Masoud ameungana na waumini wa dini ya kiislamu katika sala ya maiti kumsalia mwanasiasa mkongwe Zanzibar, Marehemu Ali Sultan Issa ambae aliwahi kuwa Waziri pamoja na kushika nyadhifa tofauti katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment