Habari za Punde

Mhe, Rais Samia akutana na kuzungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika Kikao Kazi kilichofanyika leo tarehe 13 Januari, 2022 katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika Kikao Kazi kilichofanyika leo tarehe 13 Januari, 2022 katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.


 Baadhi ya Mawaziri na Manaibu Waziri wakimsikilizaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, (hayupo pichani ) alipokuwa akizungumza nao katika Kikao Kazi kilichofanyika leo tarehe 13 Januari, 2022 katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.