Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu(Wenye Ulemavu) Mhe. Ummy Nderiananga akizungumza na wanakikundi wa Chamanangwe (wenye ulemavu) wanaojifunza ushonaji wa nguo, alipowatembelea na kukabidhi chereani sita katika eneo la hilo katika Wilaya ya Wete visiwani Pemba Januari 4, 2022.
Mbunge wa Jimbo la Kojani na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Hamad Chande akizungumza wakati hafla ya kukabidhi chereani sita katika eneo la Chamanangwe katika Wilaya ya Wete visiwani Pemba Januari 4, 2022.
Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu(Wenye Ulemavu) Mhe. Ummy Nderiananga pamoja na ugeni alioongozana nao wakiwa katika picha ya pamoja na wanakikuchi hao, mara baada ya zoezi la kukabidhi chereani hizo zinazolenga kuwawezesha katika shughuli za kujikwamua kiuchumi Chamanangwe katika Wilaya ya Wete visiwani Pemba
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
No comments:
Post a Comment