Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP hapa Tanzania Bibi Christin Musisi alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kujitambulisha .[Picha na Ikulu] 05/01/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP hapa Tanzania wakati wa mazungumzo yao leo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kujitambulisha .[Picha na Ikulu] 05/01/2022
Naibu Waziri Maryprisca Mahundi Atoa Siku Saba Usambazaji wa Maji Kijiji cha Msomera.
-
NAIBU Waziri wa Maji MarryPrisca Mahundi akizungumza mara baada ya kukagua mradi
wa maji katika Kijiji cha Msomera Kata ya Misima wilayani Handeni ikiwem...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment