Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP hapa Tanzania Bibi Christin Musisi alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kujitambulisha .[Picha na Ikulu] 05/01/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP hapa Tanzania wakati wa mazungumzo yao leo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kujitambulisha .[Picha na Ikulu] 05/01/2022
Wafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum, ikiwemo Watu wenye
ulemavu ili waweze kuepukana na hali tegemezi.
-
Mwakilishi wa viti maalum kupitia Watu wenye ulemavu Mhe. Zainab Abdallah
Salim amewataka Wafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum,
ikiwemo ...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment