Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP hapa Tanzania Bibi Christin Musisi alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kujitambulisha .[Picha na Ikulu] 05/01/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP hapa Tanzania wakati wa mazungumzo yao leo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kujitambulisha .[Picha na Ikulu] 05/01/2022
DKT JINGU AZINDUA KAMATI YA MAKAO YA TAIFA YA WATOTO KIKOMBO.
-
Na WMJJWM-Dodoma.
Serikali inaendelea kuweka mazingira mazuri na rafiki kwa ajili ya ustawi
wa watoto nchini kupitia utekelezaji na uimarishaji wa afua mb...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment