Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii,Wazee,Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akipokea msaada wa vitakasa mikono kutoka kwa Umoja wa Wazanzibari wanaoishi Nchini Canada (ZANCANA) ambavyo vitasaidia katika hospitali za Zanzibar Kwa muda wa mwezi mmoja kulia ni mwakilishi wa ZANCANA Abdalla Issa.
Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii,Wazee,Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akiongea na waandishi baada ya kupokea msaada wa vitakasa mikono kutoka kwa Umoja wa Wazanzibari wanaoishi Nchini Canada (ZANCANA) ambavyo vitasaidia katika hospitali za Zanzibar Kwa muda wa mwezi mmoja kulia ni mwakilishi wa ZANCANA Abdalla Issa.
PICHA NA FAUZIA MUSSA - MAELEZO ZANZIBAR
No comments:
Post a Comment