MRATIB Kamisheni ya Ardhi Said Saleh Makame, akizungumza
kikao cha kujadili masuala ya Ardhi na namna ya kutatua migogoro na
kuwashirikisha Masheha na baadhi ya wananchi wa Micheweni, kikao kilichofanyika
ukumbi wa halmashauri ya Micheweni.
MKUU wa Wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya,
akifungua kikao cha kujadili masuala ya Ardhi na namna ya kutatua migogoro
kilichowashirikisha Mashena na baadhi ya wananchi wa Micheweni, kikao
kilichofanyika ukumbi wa halmashauri ya Micheweni.
NAIBU Mrajis wa Ardhi Pemba Asha Suleiman Said,
akiwasilisha mada juu ya sheria na taratibu za ardhi katika utatuzi wa
migogoro, mkutano uliowashirikisha masheha na baadhi ya wananchi wa Micheweni,
kikao kilichofanyika ukumbi wa halmashauri ya Micheweni.
BAADHI ya washiriki wa mkutano wa kujadili masuala
ya Ardhi na namna ya kutatua migogoro, mkutano ulioandalia na kamisheni ya
Ardhi Pemba na kufanyika ukumbi wa halmashauri ya Micheweni.
AFISA Usajili wa Ardhi Pemba Yussuf Hamad Kombo, akiwasilisha mada Taratibu za utambuzi na usajili wa Ardhi, mkutano uliowashirikisha masheha na baadhi ya wananchi wa Micheweni, kikao kilichofanyika ukumbi wa halmashauri ya Micheweni.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN.)
No comments:
Post a Comment