BAADHI ya Pikipiki zilizotolewa na baraza la sanaa,sense,Filamu na Utamaduni Pemba, kwa ajili ya
maafisa wake wa Wilaya za Pemba ili kurahisisha utendaji kazi wao.
KATIBU Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Fatma Hamad Rajab, akizungumza na watendaji wa Wizara yake Pemba, wakati wa hafla ya kukabidhi Pikikipi nne kwa maafisa Utamaduni Wilaya, pikipiki zilizotolewa na baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni Pemba.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN.)
No comments:
Post a Comment