RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.,Hussein Ali Mwinyi mgeni rasmin katika Mashindano Makuu ya
7 ya kusoma Quran Tajweed akisalimiana na Majaji wa Mashindano hayo kutoka
Kenya na Misri, alipowasili katika Masjid Noor Muhammad S.A.W Mombasa kwa
Mchina
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa kabla ya kuaza kwa
Mashindano Makuu ya 7 ya kusoma Quran Tajweed yalioandaliwa na Majlisul Quran Zanzibar
na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kaab yaliofanyika
katika Masjid Noor Muhammad S.A.W. Mombasa kwa Mchina.
WAUMINI wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia
Mashindano Makuu ya 7 ya kusoma Quran Tajweed yalioandaliwa na Majlisul Quran
Zanzibar, yaliofanyika katika Masjid Noor Muhammad S.A.W Mombasa kwa Mchina
JAMII YATAKIWA KUELEWA KAZI ZA UBAHARIA KWA WANAWAKE NI FURSA
-
*Wanachama wa WOMESA TANZANIA wakiwa kwenye maandamano katika maadhimisho
ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake wanaofanya kazi katika bahari ambapo
Tanzani...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment