RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.,Hussein Ali Mwinyi mgeni rasmin katika Mashindano Makuu ya
7 ya kusoma Quran Tajweed akisalimiana na Majaji wa Mashindano hayo kutoka
Kenya na Misri, alipowasili katika Masjid Noor Muhammad S.A.W Mombasa kwa
Mchina
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa kabla ya kuaza kwa
Mashindano Makuu ya 7 ya kusoma Quran Tajweed yalioandaliwa na Majlisul Quran Zanzibar
na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kaab yaliofanyika
katika Masjid Noor Muhammad S.A.W. Mombasa kwa Mchina.
WAUMINI wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia
Mashindano Makuu ya 7 ya kusoma Quran Tajweed yalioandaliwa na Majlisul Quran
Zanzibar, yaliofanyika katika Masjid Noor Muhammad S.A.W Mombasa kwa Mchina
Rais Samia Suluhu Hassan afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali
Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa
Futari mtoto Yatima Shuraiya Ramadhan (6) wa Kituo cha Watoto Yatima cha
Rahman k...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment