RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.,Hussein Ali Mwinyi mgeni rasmin katika Mashindano Makuu ya
7 ya kusoma Quran Tajweed akisalimiana na Majaji wa Mashindano hayo kutoka
Kenya na Misri, alipowasili katika Masjid Noor Muhammad S.A.W Mombasa kwa
Mchina
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa kabla ya kuaza kwa
Mashindano Makuu ya 7 ya kusoma Quran Tajweed yalioandaliwa na Majlisul Quran Zanzibar
na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kaab yaliofanyika
katika Masjid Noor Muhammad S.A.W. Mombasa kwa Mchina.
WAUMINI wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia
Mashindano Makuu ya 7 ya kusoma Quran Tajweed yalioandaliwa na Majlisul Quran
Zanzibar, yaliofanyika katika Masjid Noor Muhammad S.A.W Mombasa kwa Mchina
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment