RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimkabidhi sadaka ya futari mmoja ya Wananchi wenye mahitaji maalum Bi.Maliha
Mahmoud, wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi sadaka ya futari kwa Wananchi wa
Mkoa wa Mjini Magharibi, iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square
Michezani Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi
sadaka ya futari mmoja ya Wananchi wenye mahitaji maalum Bw.Salmin Amour,
wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi sadaka ya futari kwa Wananchi wa Mkoa wa
Mjini Magharibi, iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani
Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimkabidhi sadaka ya futari mmoja ya Wananchi wenye mahitaji maalum Bi.Shufaa
Khatib, wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi sadaka ya futari kwa Wananchi wa Mkoa
wa Mjini Magharibi, iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani
Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa nasaha zake kwa
Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakati wa kugawa Sadaka ya Futari kwa Wananchi wenye
mahitaji maalum, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square
Michezani Unguja Jijini Zanzibar
WANANCHI wenye mahitaji maalum wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kutowa nasaha zake wakati wa hafla ya
kugawa sadaka ya futari kwa Wananchi hao iliofanyika katika viwanja vya
Mapinduzi Square michezani Unguja
VIONGOZI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kutowa nasaha zake kwa
Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakati wa hafla ya kugawa Sadaka ya
Futari kwa Wananchi wenye mahitaji maalumu iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani
Unguja Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment