RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari mmoja wa Mzee wa Mkoa wa Kusini Unguja Bw.
Ussi Ameir, wakati wa kukabidhi sadaka ya futari kwa Wazee,Yatima na Wananchi
wenye hali ngumu, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Kibeshi Unguja
Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja.(
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari mmoja wa Mzee wa Mkoa wa Kusini Unguja Bi.Arabia
Ali Kombo, wakati wa kukabidhi sadaka ya futari kwa Wazee,Yatima na Wananchi
wenye hali ngumu, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Kibeshi Unguja
Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza mmoja wa Wazee wa Mkoa wa
Kusini Unguja Bw.Mohammed Abdalla, akitowa neno la shukrani, wakati wa kutoa
sadaka ya futari kwa Wazee,Yatima na Wananchi wenye hali ngumu, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Kibeshi Unguja Unguja Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja,
(kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadidi na (kushoto
kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora
Zanzibar.Mhe.Haroun Ali Suleiman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa
Mkoa wa Kusini Unguja, baada ya kumaliza kutoa Sadaka ya Futari kwa
Wazee,Yatima na Wananchi wenye hali ngumu , hafla hiyo iliyofanyika katika
ukumbi wa Kwa Kibeshi Unguja Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja.
///BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia baada ya
kutoa Sadaka ya Futari kwa Wazee,Yatima na Wananchi wenye hali ngumu, hafla
hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Kwakibeshi Unguja Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja
///BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia baada ya
kutoa Sadaka ya Futari kwa Wazee,Yatima na Wananchi wenye hali ngumu, hafla
hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Kwakibeshi Unguja Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia baada ya
kutoa Sadaka ya Futari kwa Wazee,Yatima na Wananchi wenye hali ngumu, hafla
hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Kwakibeshi Unguja Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja
MMOJA wa Wazee wa Mkoa wa Kusini Unguja Bw.Ussi
Ameir akisoma dua baada ya kumalizika kwa hafla ya kutoa Sadaka ya Futari,
iliyotolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) kwa Wazee,Yatima na Wananchi wenye hali
ngumu iliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Kibeshi Unguja Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja
No comments:
Post a Comment