Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefungua Kongamani la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Abeid Amani Karume.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Mwalimu Nyerere Mhe.Stephen Wasira alipowasili katika viwanja vya Chuo Kampesi ya Karume Zanzibar, kwa ajili ya ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume Zanzibar Muzdalifa Ali Yassin aliyebuni Satalati Dish Control kwa ajili ya kusetia program za TV, wakati alipotembelea maonesho ya Wanafunzi Wabinifu wa Chuo hicho, kabla ya kufungua Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume. na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Malimu Nyerere Mhe. Stephen Wasira,Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana na Mkuu wa Chuo Prof.Shadrack Mwakalila
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume Bububu Zanzibar Nassor Said Masoud, akitowa maelezo ya kifaa alichobuni cha kupimia COVID -19, wakati alipokuwa akitembelea maonesho ya Wanafunzi Wabinifu wa Chuo hicho,kabla ya kulifungua Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume lililofanyika katika ukumbi wa Chuo Kampasi ya Karume Bububu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwanafunzi Yussuf Abass Saleh akitowa maelezo ya kifaa alichobuni kwa ajili ya kupimia uzito wa gari inayobeka mizigo, wakati akitembelea maonesho ya Wanafunzi wabunifu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume Bububu Zanzibar, kabla ya kulifungua Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe Jamal Kassim Ali  na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkufunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume Bububu Zanzibar Bw,Muhammad Kassim Muhammad akitowa maelezo ya kifaa cha “ IOT Based Hydro-ponics Monitoring System “ wakati akitembelea maonesho ya Wanafunzi Wabunifu wa vifaa mbalimbali katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume Bububu Zanzibar, kabla ya kulifungua Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi wa meza kuu baada ya kuwasili katika ukumbi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume Bububu Zanzibar, wakati ukipingwa wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki kabla ya kuaza kwa ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume,na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Mhe.Stephen Wasira,Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe.Jamal Kassim Ali,Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt,Amani Karume na Mjane wa Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume Mama Fatma Karume,lililofanyika leo 5-4-2022 katika ukumbi wa Chuo hicho Kampasi ya Karume Zanzibar
WASHIRIKI wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume Bububu  Zanzibar
MKUU wa Kampasi ya Karume Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dkt.Rose Mbwete akizungumza na kutowa maelezo ya Chuo wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume lililofanyika katika ukumbi wa Chuo hicho Bububu Kampasi ya Karume Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mhe. Stephen Wasira, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, lililofanyika leo 5-4-2022  katika ukumbi wa Kampasi wa chuo hicho Bububu Zanzibar
MKUU wa Chuo cha Kumbukumbu ya Malimu Nyerere Prof.Shadrack Mwakalila akizungumza wakati wa hafla ya ugunguzi wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume. lililofanyika katika ukumbi wa Chuo hicho Kampasi ya Karume Bububu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mhe. Stephen Wasira akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Nne la kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo hicho Kampasi ya Karume Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe.Jamal Kassim Ali na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt.Amani Abeid Karume
MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mhe Stephen Wasira akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume lililofanyika Kampasi ya Karume Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mhe. Stephen Wasira akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Nne la kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo hicho Kampasi ya Karume Zanzibar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe.Jamal Kassim Ali akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwali Nyerere Kampasi ya Karume Bububu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo hicho Kampasi ya Karume Zanzibar Bububu
WASHIRIKI wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume Bububu  Zanzibar.
WATOA Mada katika Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chuo hicho Kampasi ya Karume Zanzibar
WAJUMBE wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hayai Sheikh.Abeid Amani Karume, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo hicho Kampasi ya Karume Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi Mshindi wa shindano la Isha Mwanafunzi kutoka Skuli ya Michakaeni Pemba wa Darasa la 6  Halima Abaas Juma, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo hicho Kampasi ya Karume Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na Wanafunzi walioshinda shindano la Isha, baada ya kumalizika kwa ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Rais Mtaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt.Amani Abeid Karume baada ya kualizika kwa hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kumbukizi ya Rais wa Kwanza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Hayati Sheikh.Abeid Amani Karume, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume Zanzibar 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.