Mabingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja kwa msimu wa mwaka 2021/2022 Timu ya Kundemba wakishangilia Ubingwa wao baada ya kukabidhiwa Kombe baada ya kumaliza mchezo wao wa mwisho wa Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja dhidi ya Timu ya U.Mbuzini kwa ushindi wa bao 4-1 Mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja.
NJIRO; WANANCHI SIO LAZIMA KUFANYA WIRING NYUMBA NZIMA MNAWEZA KUFANYA
CHUMBA KIMOJA KWAAJILI YAKUPOKELEA UMEME
-
NA BELINDA JOSEPH, SONGEA
Wakazi wa Kata ya Subira Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma, wametakiwa
kuunganisha nyaya za umeme angalau chumba kimoja kwenye...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment