Mabingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja kwa msimu wa mwaka 2021/2022 Timu ya Kundemba wakishangilia Ubingwa wao baada ya kukabidhiwa Kombe baada ya kumaliza mchezo wao wa mwisho wa Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja dhidi ya Timu ya U.Mbuzini kwa ushindi wa bao 4-1 Mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja.
FCC YAWAVUTIA WAWEKEZAJI KWENYE MAONESHO YA IATF NCHINI ALGERIA
-
Tanzania imejipambanua kama nchi salama na yenye ushindani katika kuvutia
uwekezaji kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika (Intra
African T...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment