Mabingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja kwa msimu wa mwaka 2021/2022 Timu ya Kundemba wakishangilia Ubingwa wao baada ya kukabidhiwa Kombe baada ya kumaliza mchezo wao wa mwisho wa Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja dhidi ya Timu ya U.Mbuzini kwa ushindi wa bao 4-1 Mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja.
Ruka Juu Na Super Heli Premium, Badili Kila Kitu Na Shinda Zaidi
-
MERIDIANBET imekuja na upepo mpya wa ushindi kwa wachezaji wote wanaopenda
msisimko usio na mipaka. Kupitia Super Heli Premium, sasa unaingia kwenye
ulim...
1 day ago
0 Comments