RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kulifungua Soko la
Samaki Tumbe Wilaya ya Micheweni Pemba leo 26-7-2022, na (kushoto kwa Rais) Mke
wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na
Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam, wakitembelea
chumba cha kugandisha barafu katika Soko la Samaki Tumbe Wilaya ya Micheweni
Pemba baada la kulifungua rasmin Soko hilo leo 26-7-2022, akiwa katika ziara
yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, kutembelea Miradi ya Maendeleo
No comments:
Post a Comment